Iran yafikiria njia ya mazungumzo ya nyuklia na Marekani kuzuia vita
Iran imesema iko katika hatua ya kutathmini masharti ya kurejea kwenye mazungumzo ya nyuklia na Marekani, huku pande zote zikionyesha utayari wa kufufua mazungumzo ya kidiplomasia katika mzozo uliodumu kwa miaka mingi.
Muhtasari
- China yakosoa Dalai Lama kupewa tuzo ya Grammy
- Mvulana 13, aogelea kilomita 4 ili kuiokoa familia yake iliyokwama baharini
- Iran yafikiria njia ya mazungumzo ya nyuklia na Marekani kuzuia vita
- Mbunge akamatwa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono
- Bei ya dhahabu na fedha yashuka
- Watu 80 waliotekwa nyara Nigeria warejea nyumbani baada ya kutoroka
- Mzozo juu ya ufadhili wasababisha baadhi ya shughuli za serikali kufungwa Marekani
- Mwanamuziki wa Nigeria afariki baada ya kuumwa na nyoka
- Familia yatafuta majibu baada ya Mkenya aliyepigana upande wa Urusi kuuawa Ukraine
- Kivuko cha Rafah kilichoko kati ya Gaza na Misri chafunguliwa
- Tuzo za Grammy: Trump atishia kumshtaki mchekeshaji Trevor Noah
- Mkanganyiko juu ya mgomo wa magari ya umma washuhudiwa Nairobi
- China yawanyonga watu 4 zaidi wa genge la kimafia la Myanmar
- Mzozo wa Marekani na Iran: Trump ajibu onyo la Khamenei
- Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza ażuru Ethiopia kujadili uhamiaji haramu
- M23 yaitaka Congo kutoingiza siasa katika vifo vya wachimba madini Rubaya
- Watu 12 wafariki katika shambulio la basi Ukraine
- Jeshi la Nigeria lamuua kamanda mmoja wa Boko Haram
Moja kwa moja
Asha Juma, Beldeen Waliaula & Rashid Abdallah
