Trump asema Marekani na Iran zimefanya mazungumzo ya kuahirisha mashambulizi, Iran yakanusha

Wakati huohuo, Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuahirisha mashambulizi ya mitambo ya kuzalisha umeme.

Moja kwa moja

Na Asha Juma & Mariam Mjahid

Hujambo. Karibu katika matangazo yetu mubashara tarehe ni 23/03.2026.