Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Trump asema Marekani na Iran zimefanya mazungumzo ya kuahirisha mashambulizi, Iran yakanusha
Wakati huohuo, Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuahirisha mashambulizi ya mitambo ya kuzalisha umeme.
Muhtasari
- Meli tatu zafuatiliwa zikivuka Mlango-Bahari wa Hormuz
- Spika wa Bunge la Iran akanusha mazungumzo na maafisa wa Marekani
- Trump aashiria Iran inaweza kukubali kuachana na mpango wa silaha za nyuklia
- Makadirio yaonyesha mashambulizi ya Iran yalisababisha hasara ya dola milioni 800 kwa kambi za Marekani
- Misri yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya miundombinu ya Lebanon
- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Hakuna mazungumzo kati ya Iran na Washington
- Trump 'asita' baada ya kusikia tutalenga vituo vyote vya umeme mashariki ya kati - IRGC
- Wairani waakisi hatua ya Trump ya kuahirisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya umeme
- Kauli ya Trump kuhusu kusitisha vita na Iran yaacha maswali muhimu bila majibu
- Trump asema mazungumzo yalifanyika kuhusu 'suluhisho kamili la uhasama' na Iran
- Wamiliki wa magari nchini Kenya waingiwa na wasiwasi kufuatia uhaba wa mafuta
- Mashambulizi ya Marekani na Israel yaendelea katika maeneo mbalimbali nchini Iran
- Uchumi wa dunia uko katika "tishio kubwa" kutokana na mgogoro wa Mlango-Bahari wa Hormuz: Mkuu wa IEA
- UN watoa onyo jipya la hali ya hewa huku El Niño ikikaribia
- Walowezi wa Israeli washambulia Wapalestina katika eneo linalokaliwa
- Siku ya ukomo ya Trump kwa Iran kufungua Mlango-Bahari wa Hormuz inakaribia
- Wakenya wanaopigana vita kwa niaba ya Urusi dhidi ya Ukraine kusamehewa
- 'Vitisho vinaimarisha umoja wetu' - Rais wa Iran
- Starmer na Trump wajadili umuhimu wa kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz
Moja kwa moja
Na Asha Juma & Mariam Mjahid