Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Bunge la Bangladesh lavunjwa baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kujiuzulu
Waandamanaji wanataka kubuniwe serikali ya mpito na mshauri wake mkuu awe Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Muhammad Yunus.
Muhtasari
- Mkasa wa binti kubakwa Tanzania, uchunguzi umefikia hatua nzuri- Msemaji wa polisi
- Uchunguzi wa jinai waanzishwa dhidi ya viongozi wa upinzani Venezuela
- Wapalestina kumi wauawa katika ghasia za Ukingo wa Magharibi
- 'Tumepata Medali zetu za dhahabu kwa njia safi sana' - China
- Kwa nini Kamala Harris alimchagua Tim Walz
- Kamala Harris amchagua Tim Walz kuwa mgombea mwenza wake
- Israel na Hezbollah zafanya mashambulizi ya kujibizana huku mvutano ukizidi kupamba moto
- Hifadhi ya maiti Marekani yatozwa faini ya $950m katika kesi ya miili iliyooza
- Waandamanaji wakamatwa Nigeria kwa kupeperusha bendera ya Urusi
- Bunge la Bangladesh lamevunjwa - Ofisi ya Rais
- Muhammad Yunus: Mpinzani mkuu wa Sheikh Hasina ambaye waandamanaji wanataka awe mshauri mkuu wa serikali Bangladesh
- Maandamano Bangladesh: Tunachokijua kufikia sasa
- Wadukuzi wa Korea Kaskazini wanajaribu kuiba siri za nyuklia na kijeshi, Marekani, Uingereza zasema
- Ukiritimba wa Google katika urambazaji mtandaoni ni kinyume cha sheria- jaji wa Marekani
- Rais Biden akutana na maafisa usalama wa Marekani wakati hofu ya mashambulizi ya Iran ikiongezeka
- Wakenya washinda medali 3 Paris 2024
- Wanajeshi wa Marekani wajeruhiwa katika shambulizi nchini Iraq
- Shangwe nchini Bangladesh baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kukimbia nchi
Moja kwa moja
Lizzy Masinga, Ambia Hirsi & Yusuf Jumah