Iran yathibitisha kuuawa kwa Waziri wa Ujasusi baada ya kifo cha Larijani
Awali, Israel ilisema ilimuua Khatib katika shambulio usiku kucha.
Muhtasari
- Raia wa China ashtakiwa kwa kujaribu kusafirisha siafu 2,000 kutoka Kenya
- Serikali ya Senegal yadai uwepo wa ufisadi kwenye Afcon
- Rais wa Iran athibitisha kuwa Waziri wa Ujasusi Esmail Khatib ameuawa
- Iran yatoa amri ya kuhama kwa ajili ya vituo vya nishati huko Ghuba
- IDF yasema itashambulia vivuko vya mito kusini mwa Lebanon
- Kituo kikubwa cha gesi asilia cha shambuliwa Iran - Vyombo vya habari
- Wachezaji soka wa Iran warudishwa nyumbani kutoka Uturuki
- Kituo kikubwa cha gesi asilia cha shambuliwa Iran - Vyombo vya habari
- Mashambulizi Beirut yalilenga 'taasisi ya kifedha' ya Hezbollah - Israeli
- Israel yasema imemuua Waziri wa Ujasusi wa Iran
- Mazishi ya maafisa wakuu wa Iran waliouawa kufanyika leo
- Trump 'hajaelewa vyema' Nato - Mwanadiplomasia wa zamani wa Uingereza
- Israel yashambulia katikati mwa Beirut
- Senegal kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa kuipa Morocco ubingwa wa AFCON
- Italia yaonya kwamba meli ya mafuta ya Urusi inaweza kulipuka katika bahari ya Mediterania wakati wowote
- Kifo cha Ali Larijani chazidisha mgogoro katikati ya uongozi wa Iran
- Saudi Arabia na Kuwait zimeripoti mashambulizi ya ndege zisizo na rubani na makombora
- Katika picha: Matukio ya baada ya mashambulizi mabaya ya Iran huko Tel Aviv
- Marekani na Israel dhidi ya Iran: Yaliotokea mapema leo hadi kufiki sasa
- Mkuu wa jeshi la Iran atishia kulipiza kisasi mauaji ya Larijani
Moja kwa moja
Abdalla Seif Dzungu & Asha Juma
