Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Iran yathibitisha kuuawa kwa Waziri wa Ujasusi baada ya kifo cha Larijani
Awali, Israel ilisema ilimuua Khatib katika shambulio usiku kucha.
Muhtasari
- Raia wa China ashtakiwa kwa kujaribu kusafirisha siafu 2,000 kutoka Kenya
- Serikali ya Senegal yadai uwepo wa ufisadi kwenye Afcon
- Rais wa Iran athibitisha kuwa Waziri wa Ujasusi Esmail Khatib ameuawa
- Iran yatoa amri ya kuhama kwa ajili ya vituo vya nishati huko Ghuba
- IDF yasema itashambulia vivuko vya mito kusini mwa Lebanon
- Kituo kikubwa cha gesi asilia cha shambuliwa Iran - Vyombo vya habari
- Wachezaji soka wa Iran warudishwa nyumbani kutoka Uturuki
- Kituo kikubwa cha gesi asilia cha shambuliwa Iran - Vyombo vya habari
- Mashambulizi Beirut yalilenga 'taasisi ya kifedha' ya Hezbollah - Israeli
- Israel yasema imemuua Waziri wa Ujasusi wa Iran
- Mazishi ya maafisa wakuu wa Iran waliouawa kufanyika leo
- Trump 'hajaelewa vyema' Nato - Mwanadiplomasia wa zamani wa Uingereza
- Israel yashambulia katikati mwa Beirut
- Senegal kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa kuipa Morocco ubingwa wa AFCON
- Italia yaonya kwamba meli ya mafuta ya Urusi inaweza kulipuka katika bahari ya Mediterania wakati wowote
- Kifo cha Ali Larijani chazidisha mgogoro katikati ya uongozi wa Iran
- Saudi Arabia na Kuwait zimeripoti mashambulizi ya ndege zisizo na rubani na makombora
- Katika picha: Matukio ya baada ya mashambulizi mabaya ya Iran huko Tel Aviv
- Marekani na Israel dhidi ya Iran: Yaliotokea mapema leo hadi kufiki sasa
- Mkuu wa jeshi la Iran atishia kulipiza kisasi mauaji ya Larijani
Moja kwa moja
Abdalla Seif Dzungu & Asha Juma