Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Kenya 2022:Mambo matano makuu yanayotawala uchaguzi mkuu wa Kenya
Iliyochapishwa
Kenya inaelekea uchaguzi mkuu tarehe 9 Agosti mwaka huu na masuala makubwa katika uchaguzi huu ni ukosefu wa ajira,umaskini ,gharama ya juu ya maisha,ufisadi,ukosefu wa usalama na afya .
Lakini shina kubwa linalounganisha masuala yote haya yote ni uchumi .
Mwandishi wa BBC, Esther Namuhisa anatueleza zaidi;