Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tanzania yahimizwa kuwekeza katika kilimo cha alizeti
Iliyochapishwa
Wakati nchi nyingi duniani zikiendelea kukumbwa na uhaba wa mafuta ya kupikia kutokana na changamoto mbalambali janga la Corona na Vita vya Urusi na Ukraine vikitajwa kama moja ya sababu, Tanzania ni moja ya nchi zinazoathirika kutokana na hali hiyo.
Serikali ya Tanzania imeanza kuwekeza kwenye zao la alizeti ili kuimarisha uzalishaji wa ndani.
Mkoa wa Dodoma unategemewa zaidi katika uzalishaji wa mafuta ya alizeti. Humphrey Mgonja akiwa Dodoma ameandaa taarifa hii.