Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mzozo wa Ukraine: Raia wa Tanzania walio Ukraine wanasema nini?
Iliyochapishwa
Vikosi vya Ukraine vinapambana na wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine.Hii leo ikiwa siku yake ya nne tangu kuanza kwa mapigano, raia wa Tanzania waishio Ukraine wanaeleza hali ilivyo.
Dkt.Lahsen Mohamed Kheir ni kiongozi wa Jumuiya ya wanafunzi Ukraine amezungumza na Lizzy Masinga