Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uvamizi wa Ukarine: Waukraine wanaamua iwapo watakimbia, kujificha au kukapigana na Urusi
Iliyochapishwa
Ving'ora vya kuashiria mashambulizi ya anga sasa ni jambo la kawaida kote nchini Ukraine.
Raia wa nchi hiyo wanaamua wanaamua iwapo watakimbia, kujificha au kukanbiliana na uvamizi wa Urusi.
Makombora ya Urusi yameharibu miji ya Ukraine, baada ya wanajeshi wa Urusi wa ardhini kuingia katika maeneo ya mashariki. Rais wa Ukraine anashauri 'Usiogope'. Ametoa wito kwa raia kuchukua silaha ili kudhibiti vikosi vya Urusi