Wasichana wa Rwanda wanaosaidia kuinua usafi wakati wa hedhi kupitia michezo ya redio

Iliyochapishwa

Katika maeneo ya vijini ya nchi ya Rwanda , ukosefu wa pedi za hedhi na huduma za usafi huwanyima wasichana wengi wanaosoma shule heshima na faragha-na hivyo kuwalazimisha baadhi yao kukatiza masomo. Lakini wanafunzi katika shule ya GS Ntarama wakishirikiana na kituo cha redio cha kijamiiwanasaidia kutatua hilo