Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Joseph Sinde Warioba: 'Kwasasa hatuwezi kufanya kura ya maoni kuhusu katiba mpya Tanzania'
Iliyochapishwa
Kuelekea miaka 60 ya uhuru BBC imefanikiwa kufanya mazungumzo na Jaji mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba ambaye ameeleza mambo mengi ikiwemo suala la Tanzania kuwa na subira wakati mchakato wa kuelekea upatikanaji wa katiba mpya ya Tanzania chini ya Rais Mama Samia Suluhu Hassan
Lakini pia nguvu iliyowekwa wakati huo kupambana na maadui wa taifa ambao ni ujinga, maradhi na Umaskini na ipi ilikuwa Falsafa ya Mwalimu J.K Nyerere katika uongozi wake?
Mwandishi wa BBC @frankmavura ametuandalia video ifuatayo