Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Utafiti: ‘Kihisio’ kwenye ubongo kinachosababisha urefu wa binadamu chagunduliwa
Iliyochapishwa
Mara kibao watu huskika saana wakisema aah natamani saana kuwa mrefu au napenda saana mtu mwenye kimo kirefu.
Sasa Wanasayansi wanasema kwamba fumbo la wanadamu kuwa warefu na kufikia balehe mapema kuliko zamani sasa linaweza kubainishwa kwa kihisio 'sensor' iliyopo kwenye ubongo wa mwanadamu.