Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Masoud Kipanya: “Mimi simchori Rais nachora urais”
Iliyochapishwa
Katika Nyota wa Afrika Mashariki wiki hii tumezungumza na Masoud Kipanya ambaye ni mchoraji maarufu wa katuni nchini Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, anasema hachori katuni kwa sababu anamchukia mtu.
Mwandishi wa BBC Lulu Sanga amezungumza nae kuhusiana na masaibu mbali mbali wanayokabiliana nayo wachora katuni kutokana na kazi zao.