Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Fahamu jinsi mlo wa miguu ya kuku unavyopendwa na Watanzania
Iliyochapishwa
Biashara ya miguu ya kuku imezidi kushika kasi hasa ukizingatia ni Chakula kinachopendwa sana na familia nyingi nchini Tanzania.
Wapo wanaodhani si salama kutokana na chakula hiki kuuzwa zaidi maeneo ya mitaani na pembezoni mwa Barabara, lakini hiyo ni tofauti kwa wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam ambao wao hupendelea kula chakula hiki nyakati za jioni.
Mwandishi wa BBC Frank Mavura ametembea moja ya mitaa maarufu kwa uuzaji wa miguu ya kuku na utumbo jijini Dar es Salaam na kutuletea taarifa hii.