Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Julius Charles: 'Kuna wanaozimia wakiniona na wengine hukimbia'
Iliyochapishwa
Waweza dhani kauli hii ni masihara ila ndio ukweli halisi anaokumbana nao kijana Julius Charles mkazi wa Jiji la Dar es salaam, Tanzania
Hakika safari yake ya maisha si lele mama iliyojaa huzuni, furaha na shubiri kwa wakati mmoja.
Ungana na mwandishi wetu Frank Mavura akiangazia maisha ya kijana huyu mwenye vipaji lukuki.