Agnes Mba: Msichana wa miaka 9 anayetambaa kilomita moja kila siku kwenda shule

Iliyochapishwa

Msichana wa miaka tisa Agnes Mba ambaye amekuwa akitambaa kwa kilomita moja hadi shule kila siku.

Alikishangaza Kijiji kizima alipoamka siku moja , na kuvalia sare za shule na kuanza kutambaa kwa magoti kwenda shule ili kutimiza ndoto yake.

'Tangu nilipozaliwa sijatembea lakini naamini kwamba siku moja nitatembea kama rafiki zangu' .

Producer: Favour Nunoo