Agnes Mba: Msichana wa miaka 9 anayetambaa kilomita moja kila siku kwenda shule
Iliyochapishwa
Msichana wa miaka tisa Agnes Mba ambaye amekuwa akitambaa kwa kilomita moja hadi shule kila siku.
Alikishangaza Kijiji kizima alipoamka siku moja , na kuvalia sare za shule na kuanza kutambaa kwa magoti kwenda shule ili kutimiza ndoto yake.
'Tangu nilipozaliwa sijatembea lakini naamini kwamba siku moja nitatembea kama rafiki zangu' .
Producer: Favour Nunoo