Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Temitope Balogun Joshua: Wafuasi wake wasema 'yuko usingizini atarudi'
Iliyochapishwa
Habari za kifo cha Mhubiri maarufu, Temitope Balogun Joshua, maarufu kwa jina la T.B Joshua zimewashangaza raia wengi wa Nigeria na dunia kwa ujumla.
Kanisa la Sinagogi kwa mataifa yote SCOAN ambalo lilianzishwa na mhubiri huyo lilithibitisha habari za kifo chake Jumapili alfajiri, huku chanzo kikiwa bado hakijawekwa bayana.
Lakini ni kwa namna gani raia nchini humo waliopokea taarifa za kifo hicho? Mwandishi wa BBC Scolar Kisanga amezungumza na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Dkt. Benson Bana.