Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Mashambulizi Gaza yamekuwa janga' shirika la madaktari wasio na mipaka limeeleza
Iliyochapishwa
Mashambulizi makubwa ya mabomu Gaza wiki iliyopita yamekuwa "janga" anasema Helen Ottens-Patterson, Mkuu wa misheni huko Gaza kutoka shirika la madaktari wasio na mipaka(MSF).
Anasema barabara, maji, usafi wa mazingira na miundombinu mingine imeharibiwa, na kuwa kikwazo kwa mfumo wa afya.