'Mashambulizi Gaza yamekuwa janga' shirika la madaktari wasio na mipaka limeeleza

Maelezo ya video, 'Mashambulizi Gaza yamekuwa janga' Shirika la madaktari wasio na mipaka wameeleza
Iliyochapishwa

Mashambulizi makubwa ya mabomu Gaza wiki iliyopita yamekuwa "janga" anasema Helen Ottens-Patterson, Mkuu wa misheni huko Gaza kutoka shirika la madaktari wasio na mipaka(MSF).

Anasema barabara, maji, usafi wa mazingira na miundombinu mingine imeharibiwa, na kuwa kikwazo kwa mfumo wa afya.