Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kifo cha Rais John Pombe Magufuli: 'Hadhi nikarejeshewa .. nilisoma tu magazetini'
Iliyochapishwa
Balozi Costa Ricky Mahalu ni miongoni mwa watu ambao wamekwazwa sana na kifo cha hayati Magufuli kwani Rais huyo wa zamani alimpa usaidizi wakati ambapo alihisi kuonewa .