Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kifo cha John Magufuli: 'Aliagiza wali samaki, nikamhudumia nikamuwekea na mboga'
Iliyochapishwa
Anna Erasto Mhudumu wa mgahawa wa Victoria uliopo nje ya uwanja ndege jijini Mwanza asimulia alivyoshtushwa kumuona hayati Rais magufuli mgahawani kwao mwaka 2016 alipokuwa safarini kuelekea Chato kwa mapumziko