Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tazama Othman Masoud akila kiapo cha kuwa makamu wa rais wa Zanzibar
Iliyochapishwa
Makamu mpya wa rais wa kisiwa cha Zanzibar nchini Tanzania ameapishwa chini ya wiki mbili baada ya mtangulinzi wake kufarilki.
Othman Sharrif anachukua mahala pake Seif Sharrif Hamad aliyefariki tarehe 17 Februari akiwa na umri wa miaka 77.