Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: 'Kuna Watanzania walienda nje kupata chanjo badala yake wakatuletea corona ya ajabu ajabu'
Iliyochapishwa
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametahadharisha kuhusu chanjo ya Covid 19 ambayo imeanza kutolewa katika mataifa mbalimbali duniani.
Akizungumza katika uzinduzi wa shamba la miti huko wilayani Chato mkoani Geita, amezungumzia pia kuhusu hali ya corona nchini na kuwasihi wananchi kuendela kuomba pamoja na kujifukiza.