Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
uchaguzi Uganda 2021: Waandishi habari Uganda waondoka katika mkutano ulioitwa na jeshi
Iliyochapishwa
Wanahabari nchini uganda wameondoka kutoka mkutano na wanahabari uliyokuwa umeitishwa na jeshi nchini humo , wanahabari hao waliondoka kama ishara ya kuonyesha ghadhabu yao , baada ya wenzao kujikuta kwenye patashika ya vurugu za kisiasa na walinda usalama , juma lililopita.
Jeshi la Uganda UPDF lilikuwa limeitisha mkutano na wanahabari kutangaza shughuli za hisani wakati wa wiki ya wanajeshi nchini humo .
isaac mumena anaripoti kutoka Kampala Uganda