Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nigeria kitovu cha utapeli wa kimtandao
Iliyochapishwa
Barua pepe za kibiashara ni moja ya uvamizi wa kimtandao unaofanyika sana duniani huku shirika la Ujasusi la Marekani likisema utapeli huo unagharimu karibu dola bilioni 9 kwa mwaka na wataalamu wanasema Nigeria ndio kitovu cha uvamizi huo.
BBC imezungumza na mmoja wa wavamizi kujua namna wanavyofanya kazi zao na vile anavyohisi kuhusu waathirika.