Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mzozo wa Ethiopia: Watu wawili wapoteza maisha kutokana na shambulio la anga Tigray
Iliyochapishwa
Shambulio la anga kabla ya mchana siku ya Jumanne liliua watu wawili na kujeruhi wengine huko Mekelle. Madaktari wameeleza.
Haijulikani bado ni nani alitekeleza shambulio hilo.
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR limesema maelfu ya watu wamekimbia mapigano.