Matokeo ya Uchaguzi wa Tanzania 2020: Kassim Majaliwa ateuliwa kuchukuwa wadhfa wa waziri mkuu Tanzania

Iliyochapishwa
Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameteuliwa kwa mara ya pili kuchukuwa wadhfa wa waziri mkuu nchini Tanzania

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameteuliwa kwa mara ya pili kuchukuwa wadhfa wa waziri mkuu nchini Tanzania