Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Matokeo ya uchaguzi Marekani 2020: Trump alivyodai kura 'zimeibwa'
Iliyochapishwa
Huku mamilioni ya kura halali zikiwa hazijamaliza kuhesabiwa nchini Marekani, Donald Trump amejitangazia ushindi. Akipendekeza ni "udanganyifu mkubwa kwa taifa letu", na kuongeza kuwa atapinga matokeo ya uchaguzi katika Mahakama ya Juu.