Uchaguzi Tanzania 2020: Matukio katika picha Dodoma na Dar es Salaam

uchaguzi
Iliyochapishwa

Zaidi ya watu milioni 29 wamejiandikisha kupiga kura nchini Tanzania.

Raia wa Tanzania wanachagua raisi, wabunge na madiwani.

Uchaguzi huu una wagombea 15 wanaowania nafasi ya urais na wawili kati yao ni wanawake.

uchaguzi

Foleni ndefu za watu wakiwa wanasbiri kuupiga kura katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.

dodo,a

Mchakato wa upigaji kura ulianza saa moja asubuhi na kufungwa saa kumi jioni saa za Afrika Mashariki.

dodoma
uchaguzi

Zoezi la upigaji kura ilichukua saa 10 ,zaidi vituo 85,000 katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania vilifungwa majira ya saa kumi jioni.

tanzania
uhakiki

Wananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura.

uchaguzi

Wagombea wa upinzani walitoa tuhuma kuwa baadhi ya vituo kulikuwa kura feki.

kuraa

Wagombea wakipiga kura

Rais Magufuli akipiga kura Dodoma

Rais John Magufuli akipiga kura jijini Dodoma , leo asubuhi.

lISSU

Chanzo cha picha, CHADEMA

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Antiphas Lissu akipiga kura ya Uchaguzi Mkuu leo Oktoba 28, 2020, mchana, Ikungi, Mkoani Singida.

mwinyi

Hussein Mwinyi apiga kura yake Zanzibar

Hussein Mwinyi anakabiliwa na ushindani mkali kutoka kwaSeif Sharif Hamad wa chama cha ACT Wazalendo.