Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
'Sina uwezo wa kununua dawa za uzazi wa mpango, naogopa kushika ujauzito'
Iliyochapishwa
Kupungua kwa biashara na misaada ya nje, ni wazi kwamba Afrika sio kipaumbele tena kwa Marekani.
Donald Trump hajawahi kutembelea bara la Afrika wakati wa urais wake.
Athari za sera za nje za Washington kuhusu Afrika zinaathiri maelfu ya watu barani Afrika, hasa wanawake.