Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Sherehe ya Olngesher: Fahamu jinsi vijana wa Kimasai wanavyohitimu kuwa wazee wa jamii
Iliyochapishwa
Kila baada ya miaka 15, jamii ya maasai nchini Kenya hufanya shere inayofahamika kama Olngesher ambapo vijana huhitumu kuwa wazee wa jamiis. Mwaka huu ilikuwa mara ya kwanza sherehe hizo zimefanywa wakati wa janga la corona. Serikali ya Kenya imepiga marufuku mikusanyiko ya watu zaidi ya 100 lakini kuchelewesha sherehe hiyo kungelikuwa na athari kubwa katika kizazi kujacho cha wamorani wa kimasai.
Video imeandaliwa na Ian Wafula.