Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Washikadau wa Utalii washirikiana na serikali kuuzima moto mlima Kilimanjaro
Iliyochapishwa
Wadau wa sekta ya Utaliii nchini Tanzania wanafanya jitihada za kushirikiana na vikosi vya zima moto kuukabili moto uliozuka kwenye hifadhi ya Mlima Kilimanjaro
Hii si mara ya kwanza kwa moto wa aina hii kutokea, mpaka sasa chanzo cha moto hakijabainika
Ahimidiwe Ulomi ni mmoja wa wadau wa Mlima Kilimanjaro anasema tayari makampuni yamesha jipanga kuweka nguvu Kazi Pamoja na vifaa