Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waumini wa Kikristo wanasema nini kuhusu uchaguzi wa Marekani
Iliyochapishwa
Yamebaki majuma machache kabla ya uchaguzi wa urais muhimu zaidi wa Marekani kuwahi kutokea. Wagombea wote wameweka dini katikati ya kampeni zao.
Ingawa wainjilisti weupe walimsaidia Donald Trump kuingia Ikulu mnamo 2016, mwaka huu suala hilo ni ngumu zaidi.
Katika jimbo la North Carolina kuna kiwango cha chini ya asilimia kati ya wagombea wawili. Kwa hivyo wapiga kura Wakristo wanasema nini?