Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ruwaida Saleh: 'Water girl' aliyepigwa risasi akiitekea maji familia yake
Iliyochapishwa
Picha za kushangaza zinazomuonesha mtoto wa miaka 6 Ruwaida Saleh akiwa amelala barabarani baada ya kupigwa risasi kichwani na mlengaji shabaha wa kuvizia akiwa anaitekea maji familia yake zimezua hisia tofauti na shutuma kutoka katika mitandao ya kijamii.