Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Bibi aliyekaidi amri ya polisi kumpinga rais
Iliyochapishwa
Video ya bibi mwenye miaka 73, aliyekaidi amri ya polisi imesambaa mtandaoni.
Taifa limekuwa na maandamano tangu Agosti 9, dhidi ya rais Alexander Lukashenko.
Waandamanaji wanadhani kuwa uchaguzi wa hivi karibuni ulikuwa sio wa haki.
Lukashenko ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 26, amekanusha madai hayo na hana mpango wa kujiuzuru.