Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi Tanzania 2020: Mahona,Rungwe wataka raia kuhudhuria kampeni kuelewa sera za wagombea
Iliyochapishwa
Wakati Kampeni za wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi za vyama mbalimbali zikiendelea nchini Tanzania, baadhi ya wagombea wamekuwa wakitoa vipaumbele ambavyo wamesema dhana zake zimekuwa 'zikitafsiriwa vibaya' na wananchi.
Hashim Rungwe,mgombea urais kwa tiketi ya chama cha CHAUMMA anaeleza dhana yake ya 'chakula' , hali kadhalika mgombea wa NRA Leopold Mahona.