Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tetemeko la ardhi Tanzania: Raia wa Kenya na Tanzania wasimulia tetemeko la ardhi lililvyotokea
Iliyochapishwa
Raia wa Kenya na wenzao wa Tanzania wamesimulia BBC kuhusu walichoshuhudia wakati tetemeko la ardhi lenye nguvu za 6.0 katika vipimo vya Ritcher lilipopiga mji wa kibiashara nchini Tanzania Dar es Salaam.
Mawimbi ya tetemeko hilo yalisikika katika maeneo ya pwani ya Kenya na mji mkuu wa Nairobi siku ya Jumatano jioni.
Hakuna uharibifu ulioripotiwa.