Mlipuko Beirut: Mlipuko ulivyopiga ofisi ya BBC mjini Beirut

Iliyochapishwa

Mwandishi wa habari wa BBC idhaa ya kiarabu Maryem Taoumi alikuwa akimuhoji Faisal Al-Aseel, Meneja mradi wa Shirika la nishati endelevu, wakati mlipuko ulipotokea.