Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mlipuko Beirut: Mlipuko ulivyopiga ofisi ya BBC mjini Beirut
Iliyochapishwa
Mwandishi wa habari wa BBC idhaa ya kiarabu Maryem Taoumi alikuwa akimuhoji Faisal Al-Aseel, Meneja mradi wa Shirika la nishati endelevu, wakati mlipuko ulipotokea.