Mlipuko Beirut: Mama aliyejifungua wakati wa msukosuko Lebanon

Iliyochapishwa

Emmanuelle alikuwa akijiandaa kujifungua mtoto wake katika hospitali ya St. George mjini Beirut siku ya Jumanne

wakati mlipuko ulipopiga kwenye wodi hiyo.

Mume wake, Edmond, alipata picha yua tukio zima kwenye kamera. Mama na mtoto aliyepewa jina la George wanaendelea vizuri.