Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Video iliyoonesha tukio la mlipuko mkubwa imewekwa mtandaoni
Iliyochapishwa
Waziri wa afya wa Lebanon Hamad Hasan amezungumzia kuhusu majeruhi wengi na uharibifu mkubwa uliojitokeza.
Shirika la habari la Reuters limenukuu vyanzo vya habari vikisema miili kumi imetolewa kutoka kwenye kifusi.