Video iliyoonesha tukio la mlipuko mkubwa imewekwa mtandaoni

Maelezo ya video, Mlipuko mkubwa ulivyotokea mjini Beirut
Iliyochapishwa

Waziri wa afya wa Lebanon Hamad Hasan amezungumzia kuhusu majeruhi wengi na uharibifu mkubwa uliojitokeza.

Shirika la habari la Reuters limenukuu vyanzo vya habari vikisema miili kumi imetolewa kutoka kwenye kifusi.