Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jinsi watoto waliokua ndani ya nyumba iliyokua ikiungua Ufaransa walivyookolewa
Iliyochapishwa
Watoto wawili wenye umri wa miaka mitatu na 10 waliepka ajali katika nyumba ya gorofa iliyokua ikiungua moto katika mji wa Ufaransa wa Grenoble kwa kuruka mita makumi kadhaa, na kudakwa mikononi na watu wazima waliokua chini ya jingo lao.
Video iliyochukuliwa na mtu aliyekua katika nyumba nyingine inaonyesha wakati watoto hao walipokua wakianguka kutoka gorofa la tatu.