Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: ''Nilimuuwa mama yangu kwa mikono yangu mwenyewe''
Iliyochapishwa
Familia nchini Iraq zinakabiliwa na adui asiyeonekana ambaye amezipatia changamoto kubwa hospitali na maeneo ya maziko.
Ndugu waliokuwa wakiomboleza wamejiweka hatarini kuwasaidia wapendwa wao walioambukizwa corona.
Na sasa wameligeukia kundi moja lililojihami kwa silaha ambalo limetoka kupambana dhidi ya IS kuwasaidia kuwazika wapendwa wao