Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Baada ya kuingia ACT Wazalendo, Membe autaka upinzani uungane
Iliyochapishwa
Baada ya wiki hii kutangaza kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania Bernard Membe amevitaka vyama vya upinzani nchini humo kuungana ili kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba .