Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: 'Wazazi hawana uwezo wa kuniwezesha kudurusu mtandaoni'
Iliyochapishwa
Covid -19 imefichua ukosefu wa usawa katika taasisi za elimu Kenya
Umasikini, ukosefu wa huduma za intaneti na ukosefu wa nguvu za umeme imewafanya baadhi ya wanafunzi kushindwa na kupata nafasi ya kuendelea na masomo wakati huu ambao shule zimefungwa.
Mitihani ya kitaifa nchini Kenya imepangiwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu baada ya shule kufungwa Machi 2020, kutokana na janga la corona.
Video na Anne Okumu