Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya Corona: Je shule za Tanzania zimeweka mikakati gani baada ya kufunguliwa?
Iliyochapishwa
Wanafunzi nchini Tanzania wameanza masomo baada ya kusitishwa kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu kufuatia janga la Covid-19. Lakini je Shule zimejipanga vipi kudhibiti maambukizi?. BBC imetembelea shule moja ya awali iliyopo jijini Dar es salaam.