Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Baa la Nzige lawa chanzo cha kipato baada ya kufanya uharibifu wa mazao Pakistan
Iliyochapishwa
Baada ya Baa la nzige kukumba Pakistan na kusababisha hasara kwa wakulima, Serikali ya nchi hiyo imebadili adha hiyo kuwa ahueni baada ya kuhamasisha ununuaji nzige kutoka kwa wakulima ili kuwa chakula cha kuku.