Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Wakaazi wa Old Town na Eastleigh waliowekewa amri ya kutotoka nje walalamikia wanachopitia Kenya
Iliyochapishwa
Wakaazi Jabir Shek Ismae kutoka Eastleigh na Aly Uweso Abubakr Salim kutoka mtaa wa Old town wanazungumzia uzoefu wao katika siku 29 za amri ya kutotoka nje na mabadiliko walioalazimika kufanya katika maisha yao ya kila siku.
Mtaa wa Eastleigh uliopo Nairobi na Old Town uliopo mjini Mombasa iliwekwa katika amri ya kutotoka nje saa 24 kutokana na ongezeko la wagonjwa wa Covid-19 .
Wawili hao walinakili walichopitia